Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naamini mpira alioupata chama akafunga angekua kaupata bocco au kibu denis wangepiga shuti kubwa sana lakubutua.Gooooooooooal....
Yanga umejinunisha. Nunaaaaaaujinga mtupu
Wapasuliwe ndo itafaaa zaidiLolote baya liwakuteni.
Hata sare itafaa.
Ha ha ha ha wale wa ubaruku walishaanza kuchafua uziAfadhali....
Vipi mkuu!!?
Ngapi ngapi huko?Tumewakosa la tatu hapa
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Nimewaona....Ha ha ha ha wale wa ubaruku walishaanza kuchafua uzi
mimi ni mwana simba lakini mpira unaochezwa hapa ni wa daraja la chini sanaYanga umejinunisha. Nunaaaaaa
Kwakua Simba Sc kasawazisha.?mechi ya walevi hii
Usikhofu,mtamfunga Al Ahylmimi ni mwana simba lakini mpira unaochezwa hapa ni wa daraja la chini sana
Pisi ya wekundu wa msimbazi hujambo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Nimewaona....
pigeni picha msiseme sikuwaambia.Mpaka Sasa kwenye Msimamo wa Ligi Yanga ni ya 3 🤣🤣🤣🤣🤣
Punguza sigara kubwa, hilo la pili mumelipata muda gani.Tumewakosa la tatu hapa