GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
хорошоКоманда — это не племя, переходи, ты еще не опоздал
ndio mana nikaweka chini ya magoli mawili najua hawafikishi sanasana moja baada ya kupigwa goli kama 5+ kisha timu pinzani kuanza kuwafanyia mzaa ndio wataambulia mojaMagoli mawili wayapate wapi?
Bora wangemuuza tu.Huyu mtangazaji wa bein sports 3 amesema Mzize ana umri wa miaka 20
Sikujua kama Yanga walikuwa serious kiasi wafikie hatua ya kuwapotosha hadi wazungu.
Tobo linazidi kupanuliwa tu sasa hivi linaendelea kupanuliwa tuUtafikiri wanaongoza wao kundi kwa point 6
Watu wanajua kupanua toboUtafikiri wanaongoza wao kundi kwa point 6
Washapoteza counter attack kwa ujinga waoHizi nafasi Yanga watazijutia sana TP Mazembe wakipata nafasi hakuachi
Yanga wamekuwa ma motivational speakers.Siku hizi mna maneno ya kilolole Sana😀😃😄
Mzize amesoma na mdogo wangu mwenye miaka 29 sasa. Yeye umri wake unaenda unapungua!Huyu mtangazaji wa bein sports 3 amesema Mzize ana umri wa miaka 20
Sikujua kama Yanga walikuwa serious kiasi wafikie hatua ya kuwapotosha hadi wazungu.
Mzee Alitandika Kurujuaaani
Zile zilikuwa ni siasa tuBora wangemuuza tu.