Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kwa hili timu la makesha bar apo wanacheza mpira uku wanawaza kitambaa cheupeLakini mpira una matokeo ya tofauti? [emoji23][emoji23][emoji23]
Ahsante luv. Ndiyo mpira, nimekumiss sana pia kipenzi cocastic[emoji23][emoji23][emoji23] Dear luv poleee sanaa.
Afu nimekumic mnoo.
Azizi Ki anaingia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nini Tena?[emoji23][emoji23]
сплотимсяГраждане, давайте сплотимся
Ndio maana wachezaji wanaocheza ligi za Africa ni ngumu sana kuwekwa kwenye Tuzo kubwa za kidunia ile Ngoma angekua mtu kama mbappe tuondokeeeMusonda kakosa bao la wazii kabisaaa, hadi nashangaa inakuaje?
Mbna haikua hivi? Doooh
Eti mwakarobo , sasa hivi wanaitafuta kwa tochi hata hiyo robo.Malo ohh wazee wa robo fainali kiko wapi
Yanga haiwezi kufungwa.Ahsante luv. Ndiyo mpira, nimekumiss sana pia kipenzi cocastic
Magoli mawili wayapate wapi?ukisikia timu inaaga mashindano kwa alama sifuri ndio haya yanayoendelea
kikubwa tuwe wavumilivu tena wakifanya mchezo wataondoka na chini ya magoli mawili ndani ya alama zao sifuri kwenye kundi