kovai tamil taiga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 1,451
- 2,059
Haswaaa tunaondokaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio maana wachezaji wanaocheza ligi za Africa ni ngumu sana kuwekwa kwenye Tuzo kubwa za kidunia ile Ngoma angekua mtu kama mbappe tuondokeee
Hata km sio kihivyo kwa Nzengeli.Nyege hazina cha urokole wala upasta
MimbaSub kwa Yanga Dk 47
Djigui Diara nje
Khomeiny Abubakar Ndani
Maxi nje
Mzize ndani
Azizi Ki ndani,
Mudathir nje
Bahati mbaya wao sio KENGOLD ambao mliwanyima goli kwa kusingizia haujavuka mstari.Hili goli la mazembe mpira umevuka mstari wote kwa 100% kweli?/πππ
Ina ujauzito?Mzee magoma alisema Yanga ina slow pancha hamkusikiliza... Rudini kwa mzee magoma myamalize awaoneshe slow pancha ilipo