Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Wakati mwingine muwe fair. Refa amejitahidi sana kuchezesha vizuri kwenye huu mchezo.Arajiga mpira umemshinda huu
Marudio yameonesha wazi yule mshambuliaji alikuwa anatafuta penati. Kwa hiyo alistahili kabisa kupewa kadi ya pili ya njano.