Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada ukimaliza period ndio nitakujibu.Tapeli mkubwa, yanga yako ya wapi, huna kadi ya uanachama , huna jezi, huchangii lolote kwenye klabu zaidi ya makelele tu ,,pmbav
mechi kama zile usipende kujifanya kimbelembele, wanakuzima.Anakosa magoli mengi ya wazi Sana karibia kila mechi tokea Ile na makolo
Sema na mchezaji naye ameanguka kirahisi sana. Ingawa nakubaliana na wewe Mwanyeto anazingua. Maana amerudia kosa la aina ile ile.Mkuu ushabiki usikufanye usione ukweli. Pale ile ilikuwa ni penati. Mwamnyeto ni trash
Eheeee Izi ladha za Azizi k
Kabebwe na WEWE
Hi ndio kazi yakoNasikia Gede hata kutuliza mpira hawezi
Marudiano tutamuweka 3MalogoArajiga mpira umemshinda huu
Sijui walimtoa wapiNasikia Gede hata kutuliza mpira hawezi
Yule baunsa wa wachezaji akiingia uwanjani wenzake wanapocheza kazi yake ni kuzunguka kulinda uwanjaNasikia Gede hata kutuliza mpira hawezi
Yaani mkuu huku nyuma tuna magarasha mengi sana, mwamnyeto, magolikipa wote hawa wawili msheri na mwenzake metacha, fred[emoji706][emoji706]Sema na mchezaji naye ameanguka kirahisi sana. Ingawa nakubaliana na wewe Mwanyeto anazingua. Maana amerudia kosa la aina ile ile.