Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawekwa kwenye mfukobinafsi nikimwangalia Max namwona ana tatizo kubwa sana, toka amalize ile mechi ya simba kawa tofauti sana.
angetafuta watu wamsaidie, hakuna jambo lisilowezekana chini ya jua.
Mkuu naww unaamini hayo mambo kwenye mpira?binafsi nikimwangalia Max namwona ana tatizo kubwa sana, toka amalize ile mechi ya simba kawa tofauti sana.
angetafuta watu wamsaidie, hakuna jambo lisilowezekana chini ya jua.
Mie sio mtani wako bali ni mdau nwenzako, hivi huo kuwa timu yetu imeharibiwa sana na Miguel?Mtani bado mpaka useme.
Hayo waulize Makolo wenyewe !!!
Naunga mkono hojaTeam apewe mkwasa
Wahi CCBRT [emoji2957] Macho yako ni mabovu mnoHuyu mwamnyeto hamna kitu, refa kamuonea tu huyu mchezaji wa prison
pain goes direct to arajiga [emoji23], shame on you
Msimu kila refa ni Yanga sio? Bado hamjatema ndoanoRefa kasawazisha, mbona tunamjua vizuri huyo refa ana kadi kabisa ya utopolo
Sent using Jamii Forums mobile app