FT: TZ Prisons FC 1-2 Yanga SC | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 11.02.2024

Wakati mwingine muwe fair. Refa amejitahidi sana kuchezesha vizuri kwenye huu mchezo.

Marudio yameonesha wazi yule mshambuliaji alikuwa anatafuta penati. Kwa hiyo alistahili kabisa kupewa kadi ya pili ya njano.
Amepewa kadi kwasababu aliushika ule mpira.
Na ni Nondo alimpiga push
 
Kwa kifupi mabaki ya falsafa ya Nabi yanaishilia. Hadi June tutakuwa na timu isiyo na mabaki ya Nabi
 
mmekoswa koswa sana
Uko sahihi. Prisons ya sasa siyo ile ya kubutua tu mpira na kutumia nguvu nyingi. Prisons ya sasa inacheza mpira mzuri malengo, na pia wa kuvutia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…