Wakati mwingine muwe fair. Refa amejitahidi sana kuchezesha vizuri kwenye huu mchezo.Arajiga mpira umemshinda huu
Mwamnyeto kuna kipindi huwa anazingua sanaYaani mkuu huku nyuma tuna magarasha mengi sana, mwamnyeto, magolikipa wote hawa wawili msheri na mwenzake metacha, fred[emoji706][emoji706]
Sawa shoga la manzese firwaji la manzese.
Amepewa kadi kwasababu aliushika ule mpira.Wakati mwingine muwe fair. Refa amejitahidi sana kuchezesha vizuri kwenye huu mchezo.
Marudio yameonesha wazi yule mshambuliaji alikuwa anatafuta penati. Kwa hiyo alistahili kabisa kupewa kadi ya pili ya njano.
Sitoi kiki kwa watoto wasiojielewaSawa shoga la manzese firwaji la manzese.
Natoa ofa ya Paracetamol Kwa yeyote anaeteseka na maumivu ya kichwa .....
Kwa kifupi mabaki ya falsafa ya Nabi yanaishilia. Hadi June tutakuwa na timu isiyo na mabaki ya NabiHii yanga ya sasahivi sio ile ya kabla ya disemba waliyompiga simba 5 , sasahivi wanacheza kichovu sana . Hawakabi watatu watatu Kama mwanzo , haikimbizi spidi Kama ya zamani , mwamnyeto anacheza Kama Mzee wa Miaka 70.
Dakika za mwisho wanashikilia bomba haikuwa style ya yanga hii .
Hawa wachezaji itakuwa wamezamishwa Kwenye mabwawa ya mademu wa Daressalaam.
Huu ushindi wa kufurahia sana sio style ya ushindi wa yanga hii .
Uko sahihi. Prisons ya sasa siyo ile ya kubutua tu mpira na kutumia nguvu nyingi. Prisons ya sasa inacheza mpira mzuri malengo, na pia wa kuvutia.mmekoswa koswa sana
Nani yanga amepewa kadi nyekunduWakati mwingine muwe fair. Refa amejitahidi sana kuchezesha vizuri kwenye huu mchezo.
Marudio yameonesha wazi yule mshambuliaji alikuwa anatafuta penati. Kwa hiyo alistahili kabisa kupewa kadi ya pili ya njano.
Mwamnyeto kachomeshaKabisa Mwamnyeto Hana kosa wanamwangushia Tu jumba bovu
Simba pekee ndio timu iliyobakiza mpira wa kubutua butua na hautawafikisha popote zaidi ya iyo nafasi ya 3 waliyonayoUko sahihi. Prisons ya sasa siyo ile ya kubutua tu mpira na kutumia nguvu nyingi. Prisons ya sasa inacheza mpira mzuri malengo, na pia wa kuvutia.
Metacha ana kauzoefu kidogo tofauti na msherikwa hiyo yeye na mnata unamchagua nani?