Ushindi upo fitness imeisharudi sijajua Diara karudi au tuko na kijana wetu wa kunyonga nyonga bega!?Posta ya mechi yenyewe inajieleza, kazi kazi.
Prison ni wagumu ila muhimu ushindi, wakicheza vizuri kama DRC na sisi tukiondoka na ushindi kama SA ndilo jambo la msingi.
Msije mkaanza ooh! uwanja una matuta, ooh! refa ameongeza dakika chache sana.Prison anapigwa ije mvua lije jua na Geita ana draw vizuri tu
Aisee! mmeingiza upepo mapema sana.Posta ya mechi yenyewe inajieleza, kazi kazi.
Prison ni wagumu ila muhimu ushindi, wakicheza vizuri kama DRC na sisi tukiondoka na ushindi kama SA ndilo jambo la msingi.
Kwa iyo Kibabage ni Bora kuliko Guede!Kibabage ni bonge la mchezaji.
Binafsi namkubali sana.
Hata ukimweka namba 9 anafunga magoli bila shida.
Kumbuka hata Mayele hakuanza kama mfungaji.
Prisons hawatawaacha salama.Ni vizuri tukamilishe mzunguko Leo kwa ushindi 13 draw 1 na lose 1 Kisha mzunguko wa pili tunyooshe goti mazima kwa kuwapiga wote akiwemo kolopwinyo
Kocha kama hajajifunza na kuja na mbinu m'badala tutamshangaa sana.Prison wanavyopenda kucheza mpira kazi waliopaka bleach lazima wajute. Yanga lazima wakamiwe
Shadeeya
No excuse we will find the road to victory no matter the pitchMsije mkaanza ooh! uwanja una matuta, ooh! refa ameongeza dakika chache sana.
Angekuwepo yule mzee Minziro ningeamini maneno Yako nje ya hapo watakaa mazoezi ni tofauti na mechi halafu wameonesha clips walizowaka za kuchelewa hawajaoneshaPrisons hawatawaacha salama.
Nimeangalia mazoezi yao Asubuhi hii, nikawasikitikia sana Uto aisee.
Okrah akianza tunashinda asubuhi ila mkude awe nje kwanzaKocha kama hajajifunza na kuja na mbinu m'badala tutamshangaa sana.
Sababu kuna mbinu za kufanya endapo timu imeamua kukamia.
Gamondi atafute mbinu za kuwin hizi mechi za kukamiwa.
Nimeshuhudia Live.Angekuwepo yule mzee Minziro ningeamini maneno Yako nje ya hapo watakaa mazoezi ni tofauti na mechi halafu wameonesha clips walizowaka za kuchelewa hawajaonesha
Mnanzishaga nyuzi mnazikimbia πππAll the Best Yanga
2nd Draw/LoseNo excuse we will find the road to victory no matter the pitch
13 win 1 draw 1 lose!!epic
All the best Wananchi and Happy Birthday[emoji617]Match Day[emoji617]
View attachment 2900162
[emoji471] #NBCPremierLeague
[emoji460]οΈ TZ Prisons[emoji739]Young Africans SC
[emoji414] 11.02.2024
[emoji909] Sokoine
[emoji797] 10:00 Jioni
#DaimaMbeleNyumaMwiko