FT: TZ Prisons FC 1-2 Yanga SC | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 11.02.2024

FT: TZ Prisons FC 1-2 Yanga SC | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 11.02.2024

Guede naona anachezeshwa ili Gamondi akwepe lawama za kukalisha wachezaji benchi wanaosajiliwa kwa gharama na kulipwa mishahara mikubwa,

Apewe mechi tatu tu, kama hakuna kitu ni heri ya Kibabage afosi kupanda, nikikumbuka goli la kibabage kule Ghana lililokataliwa naumia sana.
Nina alitoa wazo la kumsajili guede ?
 
Back
Top Bottom