lete linkTwendeni live
Yaniiiii bila Diarra halafu Metacha ni kizunguzungu.Huyu kocha kwann amemuanzisha metacha???? Sina Amani Hadi hapo!
Toa tu updateTwendeni live
Wanaharaka sana hawa duuuMbona haraka sana
Yaniiiii bila Diarra halafu Metacha ni kizunguzungu.
Awap
Hivi hawa tanesco wanashida gani. Huku Mbagala ni kama tupo miaka ya 70,
Mbona kama unachukulia mambo serious sana? Hii ni mijadala wakati mechi inaendelea mtu anaweza kusema chochote.Acha woga ndio maana timu kuwa na wachezaji zaidi ya 11. Kama mbovu hawafai muacheni.
Nina alitoa wazo la kumsajili guede ?Guede naona anachezeshwa ili Gamondi akwepe lawama za kukalisha wachezaji benchi wanaosajiliwa kwa gharama na kulipwa mishahara mikubwa,
Apewe mechi tatu tu, kama hakuna kitu ni heri ya Kibabage afosi kupanda, nikikumbuka goli la kibabage kule Ghana lililokataliwa naumia sana.
wasamehe sisi Arusha ulikatika jana sa saba mchana umerudi leo mchanaHivi hawa tanesco wanashida gani. Huku Mbagala ni kama tupo miaka ya 70,