Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 6,194
- 10,711
Jamaa anakuja Kua mtu hatari SanaMzize anafanya kazi nzur sana leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa anakuja Kua mtu hatari SanaMzize anafanya kazi nzur sana leo
alikuwa ameotea banaPacome anaweka goli la pili baada ya move tamu kabisa
Itabidi tumuombee sio Siri mwamba kapigwa misumarililitakiw liwe goli la 3 ili
Tunazid kumlaum Max kakosaje goli pale
Bado hujasemaaa[emoji23][emoji23]clear Offside!!
Hivi tumewahi kugombana juu ya Mzize eeeh? 😃😃Jamaa anakuja Kua mtu hatari Sana
Kunywa maji ya buku Moyo uelee naona Utakufa Kwa kiroho [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji81][emoji2957]clear Offside!!
Mimbumbumbu itaushukia huu uzi ili ijipoze machungu..
Sisi hatuna mwiko wa kung'oaHaya makolo panguseni masaburi mkalale usingizi wa mang'amung'amu.
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Nadhani [emoji23][emoji23][emoji23]Hivi tumewahi kugombana juu ya Mzize eeeh? [emoji2][emoji2]
Pacome alikuwa kwenye eneo la kuotea.Kunywa maji ya buku Moyo uelee naona Utakufa Kwa kidogo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji81][emoji2957]
AiseeSIMBA ( Benchika) wajifunze namna ya kuijenga mashambulizi na magoli ya mipango....