FT: Uganda 0-1 Tanzania: Kufuzu Afcon 2023 group E

Watakuja Tena na Kusema Timu Haina combination, mara wamebahatisha, mara wachezaji kama Aucho wanaibeba Star
 
Mpira stars Leo wamecheza kocha akitulia akaondoa makosa madogo madogo tutakua pazuri na tutafuzu..
 
Linapokuja suala la kitaifa, tuweke Usimba na Uyanga pembeni.

Uzalendo kwanza.
 
Ndio, Uganda tumewazidi kila kitu, unataka nn zaidi?? Subiri timu yako ambayo utawapanga Zimbwe, Kibu, Kapombe na BOCCO ila kwa hii achana nayo.
Duh! kumbe una mihemko yako binafsi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…