FT: Utopolo 0 - 1 African Sports, Mechi ya Kirafiki

FT: Utopolo 0 - 1 African Sports, Mechi ya Kirafiki

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
146805430_1934600233372875_8337381707323998035_o.jpg


20210206_212954146223.jpg


Visit Kidimbwi ameshindwa kuchomoa kidude ikiwa full mkoko mbele ya timu daraja la kwanza
 
Manara nimekusikia ukipotosha mahusiano kati ya serikali na Yanga eti wewe umefuta historia ya mahusiano hayo halafu huna uhakika kama Nyerere alikuwa mwana Yanga nikuelemisha uliza kadi no moja pale ni ya nani pili Yanga kwa kushirikiana na TAA/TANU walishirikiana kuleta uhuru Sunderland ambayo viongozi wengi walikuwa wahindi na waarabu hawakutaka uhuru kwa sababu walikuwa matajiri ndio maana huwezi kutenganisha Yanga na Chama acha kujisifu kupindukia
 
Manara nimekusikia ukipotosha mahusiano kati ya serikali na Yanga eti wewe umefuta historia ya mahusiano hayo halafu huna uhakika kama Nyerere alikuwa mwana Yanga nikuelemisha uliza kadi no moja pale ni ya nani pili Yanga kwa kushirikiana na TAA/TANU walishirikiana kuleta uhuru Sunderland ambayo viongozi wengi walikuwa wahindi na waarabu hawakutaka uhuru kwa sababu walikuwa matajiri ndio maana huwezi kutenganisha Yanga na Chama acha kujisifu kupindukia
mwanafyale Kamtafute fb au Twitter manara,ukampe mashtaka yako au fungua uzi uku, ni ASP 1-uto 0 ft
 
Back
Top Bottom