OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We umetokea wapi tena, mbona mnaropoka tu ka manyaniManara nimekusikia ukipotosha mahusiano kati ya serikali na Yanga eti wewe umefuta historia ya mahusiano hayo halafu huna uhakika kama Nyerere alikuwa mwana Yanga nikuelemisha uliza kadi no moja pale ni ya nani pili Yanga kwa kushirikiana na TAA/TANU walishirikiana kuleta uhuru Sunderland ambayo viongozi wengi walikuwa wahindi na waarabu hawakutaka uhuru kwa sababu walikuwa matajiri ndio maana huwezi kutenganisha Yanga na Chama acha kujisifu kupindukia
Nimefurahi kuona mrembo kama wewe kushabikia SimbaUtopolo mapimbi sana
Sasa hivi ni daima mbele nyuma kipimio cha korona 🤣🤣🤣Hatimae mwiko umechomolewa huko nyuma..🤪🤪🤪🤪
Nimefurahi kukutana nawe hapa!Utopolo mapimbi sana
Kwa mashabiki wenzangu wa YangaView attachment 1696195
View attachment 1696201
Visit Kidimbwi ameshindwa kuchomoa kidude ikiwa full mkoko mbele ya timu daraja la kwanza
ndio mpira huo,kwani pale walikuwa wanagombea point ngapi pale,ni mazoezi tu,View attachment 1696195
View attachment 1696201
Visit Kidimbwi ameshindwa kuchomoa kidude ikiwa full mkoko mbele ya timu daraja la kwanza
kwani sisi tumesemaje. Yanga kama Irene Uwoya tu anabania wakubwa anammanulia Dogo Janjandio mpira huo,kwani pale walikuwa wanagombea point ngapi pale,ni mazoezi tu,
Naona shangwe Kama lote,hahaaa,haya watanikwani sisi tumesemaje
Umepigwa na daraja la kwanza,duuuh.Point 3