FT: Utopolo 0 - 1 African Sports, Mechi ya Kirafiki

FT: Utopolo 0 - 1 African Sports, Mechi ya Kirafiki

Manara nimekusikia ukipotosha mahusiano kati ya serikali na Yanga eti wewe umefuta historia ya mahusiano hayo halafu huna uhakika kama Nyerere alikuwa mwana Yanga nikuelemisha uliza kadi no moja pale ni ya nani pili Yanga kwa kushirikiana na TAA/TANU walishirikiana kuleta uhuru Sunderland ambayo viongozi wengi walikuwa wahindi na waarabu hawakutaka uhuru kwa sababu walikuwa matajiri ndio maana huwezi kutenganisha Yanga na Chama acha kujisifu kupindukia
We umetokea wapi tena, mbona mnaropoka tu ka manyani
 
View attachment 1696195

View attachment 1696201

Visit Kidimbwi ameshindwa kuchomoa kidude ikiwa full mkoko mbele ya timu daraja la kwanza
Kwa mashabiki wenzangu wa Yanga

Haya matokeo ni mazuri japo hatuwezi kufurahi kufungwa, hii Ni friend match ila jambo zuri imetuma alert kwamba inabd tukaze zaidi. Japo tuna big squads with quality players + best technical batch, lakn Kuna team inaweza kutufunga.. Hii Ni alert inabd tukaze ili tutumize lengo letu.

Mwsho Mikia FC endeleeni kushangilia tumepoteza point 3 muhmu leo[emoji23][emoji23][emoji23]

#DaimaMbeleNyumaMwiko
 
Huyo fisi-mtoni kashindwa kuwasaidia..
 
Back
Top Bottom