FT: Utopolo 0 - 1 African Sports, Mechi ya Kirafiki

FT: Utopolo 0 - 1 African Sports, Mechi ya Kirafiki

Nimegundua kitu kimoja tu kwenye huu uzi; Mashabiki wa Mwamedi fc a.k.a Mwamedi Arena fc wanatamani sana kuona timu ya Wananchi ikifungwa kwenye ligi.

Hiki kitendo cha kuongoza ligi huku ikiwa haijapoteza hata mchezo mmoja mpaka sasa, kumbe kinawauma sana.
Ukiona Kidimbwi anaongoza Ligi basi ujue Simba SC hajacheza..!

Mnyama ana alama 38 kwa michezo 16 huku Kidimbwi 44, kwa michezo 18, kwahivyo Simba akicheza na atashinda hizo game atafikisha 44 sawa na Kidi lakini Mnyama ataongoza Ligi kwa idadi kubwa ya magoli yakufunga

Kwahivyo ni kiasi cha muda tu [emoji1787][emoji1787]
 
Nimegundua kitu kimoja tu kwenye huu uzi; Mashabiki wa Mwamedi fc a.k.a Mwamedi Arena fc wanatamani sana kuona timu ya Wananchi ikifungwa kwenye ligi.

Hiki kitendo cha kuongoza ligi huku ikiwa haijapoteza hata mchezo mmoja mpaka sasa, kumbe kinawauma sana.
Unaongoza subiri simba icheze mechi zake zote tuone kama unaongoza ligi
 
Ukiona Kidimbwi anaongoza Ligi basi ujue Simba SC hajacheza..!

Mnyama ana alama 38 kwa michezo 16 huku Kidimbwi 44, kwa michezo 18, kwahivyo Simba akicheza na atashinda hizo game atafikisha 44 sawa na Kidi lakini Mnyama ataongoza Ligi kwa idadi kubwa ya magoli yakufunga

Kwahivyo ni kiasi cha muda tu [emoji1787][emoji1787]
Kabisa mkuu,ukimkuta tembo juu ya mti ni lazima amepandishwa Apo.
 
Nimegundua kitu kimoja tu kwenye huu uzi; Mashabiki wa Mwamedi fc a.k.a Mwamedi Arena fc wanatamani sana kuona timu ya Wananchi ikifungwa kwenye ligi.

Hiki kitendo cha kuongoza ligi huku ikiwa haijapoteza hata mchezo mmoja mpaka sasa, kumbe kinawauma sana.
Na mtafungwa sana washamba wakubwa nyie. Kidimbwi FC mnatia huruma.
 
Ukiona Kidimbwi anaongoza Ligi basi ujue Simba SC hajacheza..!

Mnyama ana alama 38 kwa michezo 16 huku Kidimbwi 44, kwa michezo 18, kwahivyo Simba akicheza na atashinda hizo game atafikisha 44 sawa na Kidi lakini Mnyama ataongoza Ligi kwa idadi kubwa ya magoli yakufunga

Kwahivyo ni kiasi cha muda tu [emoji1787][emoji1787]
Simba baada ya Azam kwenye ligi,atakutana na Yanga na akishinda zote ataongoza ligi kwa tofauti ya magoli na akiwa na mechi moja mkononi
 
Back
Top Bottom