Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Kwahiyo walitafuta kibonde ili wamgonge 4 wajisifie 🤣🤣🤣Wamewakimbia Tp mazembe, Wametafuta kibonde na Bado wamegongwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo walitafuta kibonde ili wamgonge 4 wajisifie 🤣🤣🤣Wamewakimbia Tp mazembe, Wametafuta kibonde na Bado wamegongwa.
Ukiona Kidimbwi anaongoza Ligi basi ujue Simba SC hajacheza..!Nimegundua kitu kimoja tu kwenye huu uzi; Mashabiki wa Mwamedi fc a.k.a Mwamedi Arena fc wanatamani sana kuona timu ya Wananchi ikifungwa kwenye ligi.
Hiki kitendo cha kuongoza ligi huku ikiwa haijapoteza hata mchezo mmoja mpaka sasa, kumbe kinawauma sana.
Unaongoza subiri simba icheze mechi zake zote tuone kama unaongoza ligiNimegundua kitu kimoja tu kwenye huu uzi; Mashabiki wa Mwamedi fc a.k.a Mwamedi Arena fc wanatamani sana kuona timu ya Wananchi ikifungwa kwenye ligi.
Hiki kitendo cha kuongoza ligi huku ikiwa haijapoteza hata mchezo mmoja mpaka sasa, kumbe kinawauma sana.
ModeratorLeo umepimwa korona na lile jiti la kuingiza m*unduni.
serikali itolee tamko mashabiki wa Yanga kudanganya. itoshe sasaMagazeti ya Tanzania yana dhambi sanaView attachment 1696512
Kabisa mkuu,ukimkuta tembo juu ya mti ni lazima amepandishwa Apo.Ukiona Kidimbwi anaongoza Ligi basi ujue Simba SC hajacheza..!
Mnyama ana alama 38 kwa michezo 16 huku Kidimbwi 44, kwa michezo 18, kwahivyo Simba akicheza na atashinda hizo game atafikisha 44 sawa na Kidi lakini Mnyama ataongoza Ligi kwa idadi kubwa ya magoli yakufunga
Kwahivyo ni kiasi cha muda tu [emoji1787][emoji1787]
Wale wakongo watakuwa mastage shoo wazuriKwanini Yanga isibadilishwe ikawa"Young African orchestra band"tukapata burudani ya muziki?
Maana mpira wameshindwa wanalazimisha tu.
Na mtafungwa sana washamba wakubwa nyie. Kidimbwi FC mnatia huruma.Nimegundua kitu kimoja tu kwenye huu uzi; Mashabiki wa Mwamedi fc a.k.a Mwamedi Arena fc wanatamani sana kuona timu ya Wananchi ikifungwa kwenye ligi.
Hiki kitendo cha kuongoza ligi huku ikiwa haijapoteza hata mchezo mmoja mpaka sasa, kumbe kinawauma sana.
Simba baada ya Azam kwenye ligi,atakutana na Yanga na akishinda zote ataongoza ligi kwa tofauti ya magoli na akiwa na mechi moja mkononiUkiona Kidimbwi anaongoza Ligi basi ujue Simba SC hajacheza..!
Mnyama ana alama 38 kwa michezo 16 huku Kidimbwi 44, kwa michezo 18, kwahivyo Simba akicheza na atashinda hizo game atafikisha 44 sawa na Kidi lakini Mnyama ataongoza Ligi kwa idadi kubwa ya magoli yakufunga
Kwahivyo ni kiasi cha muda tu [emoji1787][emoji1787]
Haswaa.Wale wakongo watakuwa mastage shoo wazuri