FT: Utopolo 0 - 1 African Sports, Mechi ya Kirafiki

Manara nimekusikia ukipotosha mahusiano kati ya serikali na Yanga eti wewe umefuta historia ya mahusiano hayo halafu huna uhakika kama Nyerere alikuwa mwana Yanga nikuelemisha uliza kadi no moja pale ni ya nani pili Yanga kwa kushirikiana na TAA/TANU walishirikiana kuleta uhuru Sunderland ambayo viongozi wengi walikuwa wahindi na waarabu hawakutaka uhuru kwa sababu walikuwa matajiri ndio maana huwezi kutenganisha Yanga na Chama acha kujisifu kupindukia
 
mwanafyale Kamtafute fb au Twitter manara,ukampe mashtaka yako au fungua uzi uku, ni ASP 1-uto 0 ft
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…