ElPuto Jefe
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 5,284
- 19,410
Wamezabwa KweliRefaaaaaa Byutiiiiiiiiiii
Acha majungu ya kianaMpila umeisha Vipers wanatoka kufua mbele Kwa goli 2-0.
BYUTI BYUTI [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jumatatu Kazi NdogoByuti byuti wamekutana na pumzi ya moto.....
Junamosi ijayo tunapiga kwenye mshono....
Bado hazijafika au tuwaongeze nyingine mkuu!?Mpaka kufikia dakika ya 90 hapa tunakuwa tumeshinda, lile ni kosa dogo tu walifanya.
Majembe yanaingia saa ngapi?Nje bado kuna majembe mengi sana yakisubiria tu kuja kubadili upepo. Mayele, Morrison, Aziz Kii, Lomalisa, Kambole, Bigirimana!
Naamini kocha amewaacha nje kwa makusudi kabisa. Hawa Vipers ni wepesi sana kwa timu ya Wananchi.
Ni kweli....byutiii byutiiii...ππYanga atafungwq na timu zote lakini sio makolo πππππ