Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Itarudiwa utaona wamekosaje![]()
Naona mmesahau shida kwa muda kibano kipo pale paleNgoja irudiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itarudiwa utaona wamekosaje![]()
Naona mmesahau shida kwa muda kibano kipo pale paleNgoja irudiwe
Yamekua hayohahahaha hakuna mechi hapo sema wamekutana ma bwana miti hakuna la maana
ma bwana miti hao, wanavizianaYamekua hayo
🦁Naona mmesahau shida kwa muda kibano kipo pale pale
Kwani mpira umeisha?waydad mwarabu ama kituko kila mmoja kamtwanga isipokuwa nyau tu
Nilikuwa napingana na watu waliokuwa wanasema mbovu waki point magoli aliyofungwa ambayo yalikuwa yamesababishwa na wachezaji wa katiAyoub🙌🙌🙌🙌!
Simba ilimchapa Mamelod wapi? Ndio maana napendelea kula kwanza kabla ya kuvuta.Oya Wana Simba wenzangu, tukubali tukatae...
Simba ya Sasa ni poyoyo!!.
Hivi Ile Simba ilomchapa Mamelod Kwa mkapa, ingekua ndio ya Leo hapa, huyu Mwarabu alivyotepeta, siangeshakula goli mbili za chap?.
Makasiriko yanini sasa? tuliza ball, naamini kiwango cha mnyama leo kimekusapriseNdio akili yako ilipowaza. Hii timu kabla ya kucheza leo kashinda mechi moja tu ya juzi ya ligi. Ila zote kafungwa, wewe unaleta unazi wako hapa. Hujui kama hao Wydad wamefungwa hadi na Galaxy?
Kwa nini sasa Yanga kabaki mkiani 😂yanga ana timu nzuri
Hii ni kumaanisha wote wawili wamekutana unga tupuYaan onana na ayubu ndio wanakua man of the match
Kabisa kabisaKwa Ayoub hata Manula anakalia mbao vizuri tu
Kwahiyo ndiyo nini kunisusia ile culture mpaka naipoteza?😂😂
Nakusalimu kwa jina la Bwana mtumishi..!!😌
Mtajifunza lini kuwa Majina hayachezi mpira?Atoe onana aingie Chama, atoe saido aingie phiri
Wapo nyang’anyang’aWaydad ya mwaka huu Kama mbeya city tu