"Wydad wanazitaka sana hizi points, Simba Sc lazima afungwe 3 leo"Simba Bado mbovu adi Sasa Bado atuscore kwa timu iliyojifia hii
Watafeli tu kama tochi zao zilivyofeli.Kuna Filimbi za nje ya Uwanja zinawa confuse Wachezaji Wa Simba
Nafurahi wanavyotatarika hapaSimba kawafunga midomo leo....[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii mechi Yanga angeshamtandika chuma 3 Wydad mpaka saa hizi.Ile droo ya jana ni kumaanisha Madeama ni team nzuri sana ama Yanga Sc ndio mbovu?
Simba Bado mbovu adi Sasa Bado atuscore kwa timu iliyojifia hii
Teh teh teh πππ"Wydad wanazitaka sana hizi points, Simba Sc lazima afungwe 3 leo"
"Mnatucheka leo, subirini kesho"
Hizi nyimbo zimeisha? Hapa ikitokea Wydad kapata goal, hamtamuita kibonde tena.
Mwambie mratibu Elimu Wizarani kasema afisa elimu kapuyanga utabiri wake [emoji3][emoji3]Afisa elimu ndo ametabiri [emoji2][emoji2]
Wydad na Simba akuna timu watakazozifunga kwenye lile group lamda wafungane wenyewe Hawa ndio vibonde wa group"Wydad wanazitaka sana hizi points, Simba Sc lazima afungwe 3 leo"
"Mnatucheka leo, subirini kesho"
Hizi nyimbo zimeisha? Hapa ikitokea Wydad kapata goal, hamtamuita kibonde tena.
Ni kweli kabisa, mida kama hii Belouzdad alikuwa kapigwa goli tatu.Hii mechi Yanga angeshamtandika chuma 3 Wydad mpaka saa hizi.
Teh teh teh πππ mpaka sasa hawaamini wanachokiona.Nafurahi wanavyotatarika hapa
Lambda = labda [emoji3][emoji3]Wydad na Simba akuna timu watakazozifunga kwenye lile group lamda wafungane wenyewe Hawa ndio vibonde wa group
Hii mechi Yanga angeshamtandika chuma 3 Wydad mpaka saa hizi.
na nyie Mna shangilia draw waheshimiwa nilizani uku kwenu ni ushindi tuTeh teh teh [emoji23][emoji23][emoji23] mpaka sasa hawaamini wanachokiona.