themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 1,033
- 3,720
Kwani mna points ngapi na sisi tunazo ngapi?Kelele zote kwisha!! 😁
Wamekazwa kimoja cha mwishoni hadi wamelowaLeo sikuwa Kwenye tv kazi zilikuwa nyingi nipeni matokeo huko morocco marakesh Casablanca
HikiKuna buku 5 ya chap kolo yeyote akijibu swali hili.
Kati ya 5 za siku Ile na hiki kimoko ipi imeuma sana ?
Pumbavu kwani walikua wanacheza peke yao na nyinyi si mlikua mnacheza ???Huu utaratibu wa kuongeza dk zaidi umetoka wapi hawa mikunduuu wamebebwa kmk
Sisi ni mashabiki. Tunavyoona mchezaji ni tofauti kabisa na kocha anavyoona mchezaji. Huwezi sema jamaa hakuwa strika mzuri wakati anapangwa na kuna strikers wengine wengi tu wapo!Kwa hiyo kwa sababu ulimuona kuanzia mechi ya kwanza mpaka ya mwisho basi yeye ndio alikuwa chaguo Bora kabisa miongoni mwa mastriker lukuki wanaopatikana nchini ufaransa sio?
Ulikuwa unaangalia mechi za ufaransa lakini hasa mechi ya nusu fainali dhidi ya Belgium? Unajua hata mpira wenyewe uliuugusa mara ngapi dakika zote alilzocheza?
Jitahidi uangalie mpira kwa jicho la kiufundi na sio kwa ubao wa matokeo tu.
Umeonaeeee....Kifo kibaya sana hiki, ni sawa na mtu wa chuo kudisco mwaka wa tatu semester ya mwisho..
Kelele zote kwisha!! [emoji16]
Mlitusema sana jana🤣🤣🤣[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Nini hiki jamaniii, khaaaah
We jamaa nawe! Kwahiyo wewe unajua mpira kuliko Didier Deschamps aliyekuwa akiyaona yote hayo lakini bado akabaki kuwa choice yake ya kwanza? Kwa wanaojua mpira striker si kufunga tu na kugusa mpira.Kwa hiyo kwa sababu ulimuona kuanzia mechi ya kwanza mpaka ya mwisho basi yeye ndio alikuwa chaguo Bora kabisa miongoni mwa mastriker lukuki wanaopatikana nchini ufaransa sio?
Ulikuwa unaangalia mechi za ufaransa lakini hasa mechi ya nusu fainali dhidi ya Belgium? Unajua hata mpira wenyewe uliuugusa mara ngapi dakika zote alilzocheza?
Jitahidi uangalie mpira kwa jicho la kiufundi na sio kwa ubao wa matokeo tu.
Huu utaratibu wa kuongeza dk zaidi umetoka wapi hawa mikunduuu wamebebwa kmk