FT: Wydad AC 1 - 0 Simba SC | CAFCL | Stade de Marrakech | 09.12.2023

FT: Wydad AC 1 - 0 Simba SC | CAFCL | Stade de Marrakech | 09.12.2023

😹😹😹🤣🤣🤣🤣mule mule maniner
 

Attachments

  • JamiiForums-1764214020.jpeg
    JamiiForums-1764214020.jpeg
    34 KB · Views: 4
Kwa hiyo kwa sababu ulimuona kuanzia mechi ya kwanza mpaka ya mwisho basi yeye ndio alikuwa chaguo Bora kabisa miongoni mwa mastriker lukuki wanaopatikana nchini ufaransa sio?

Ulikuwa unaangalia mechi za ufaransa lakini hasa mechi ya nusu fainali dhidi ya Belgium? Unajua hata mpira wenyewe uliuugusa mara ngapi dakika zote alilzocheza?

Jitahidi uangalie mpira kwa jicho la kiufundi na sio kwa ubao wa matokeo tu.
Sisi ni mashabiki. Tunavyoona mchezaji ni tofauti kabisa na kocha anavyoona mchezaji. Huwezi sema jamaa hakuwa strika mzuri wakati anapangwa na kuna strikers wengine wengi tu wapo!

Mpaka anapangwa kuna kitu kocha kaona anacho na wengine hawana. Na hicho kitu ndio kinamfanya awe bora.
 
Kwa hiyo kwa sababu ulimuona kuanzia mechi ya kwanza mpaka ya mwisho basi yeye ndio alikuwa chaguo Bora kabisa miongoni mwa mastriker lukuki wanaopatikana nchini ufaransa sio?

Ulikuwa unaangalia mechi za ufaransa lakini hasa mechi ya nusu fainali dhidi ya Belgium? Unajua hata mpira wenyewe uliuugusa mara ngapi dakika zote alilzocheza?

Jitahidi uangalie mpira kwa jicho la kiufundi na sio kwa ubao wa matokeo tu.
We jamaa nawe! Kwahiyo wewe unajua mpira kuliko Didier Deschamps aliyekuwa akiyaona yote hayo lakini bado akabaki kuwa choice yake ya kwanza? Kwa wanaojua mpira striker si kufunga tu na kugusa mpira.

Hivi lini mtamheshimu Giroud mfungaji bora wa wakati wote wa Ufaransa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
 
Back
Top Bottom