Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kama kibonde Ihefu alivyowaondolea unbeatenkakutana na kibonde wa kundi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kibonde Ihefu alivyowaondolea unbeatenkakutana na kibonde wa kundi
Ya kiume hiiMechi yamoto balaaaa!
Huyo kwa Diarraa mtoto sana!Diara ajifunze
Kaizer chief siyo mamelod mkuuOya Wana Simba wenzangu, tukubali tukatae...
Simba ya Sasa ni poyoyo!!.
Hivi Ile Simba ilomchapa Mamelod Kwa mkapa, ingekua ndio ya Leo hapa, huyu Mwarabu alivyotepeta, siangeshakula goli mbili za chap?.
Jana mbona hakupangua ule mkwajuHuyo kwa Diarraa mtoto sana!
Naona ndio anakomaa komaa!
Ana shika nafasi ya ngapi kwenye kundi?yanga ana timu nzuri
ya nne kati ya nneAna shika nafasi ya ngapi kwenye kundi?
Mimi ni mnyama ila ukweli Lazima tuuseme.Waliowapiga 3-0 juzi tuu ni wahindi? Mbona mnajitoa ufahamu? Ndo maana mnaomba kubadilishiwa kundi mautopolo hamna akili.
Kibu ameaminiwa si na makocha waliopita tu ila hata huyu wa sasa na kocha wa timu ya taifa humwita kwanini?Tangu nimeanza kumuona, akikaba mara 5 basi mara 3 lazima acheze faulo! Anaonekana ni striker anayependa sana kuisidia timu kurudisha mpira lakini kukaba penyewe hajui.... Anatumiaga manguvu mengi sana kuliko maarifa.
Kibu akiwa anawania mpira wa juu na beki ni mara chache sana atau win bila kusababisha faulo.
Afanye kuangalia sana video za idol wake Didier Drigba aone jinsi gani alivyokuwa anakaba.
Binafsi nafikiri angebadilisha aina ya uchezaji akafocus zaidi kwenye finishing kuliko kujiongezea majukumu ambayo hayawezi.
Ayoub mtrotro sanaa😁!Jana mbona hakupangua ule mkwaju
Yes Kaizer C, Ile ndo ilikua Simba.Kaizer chief siyo mamelod mkuu
Huko Kundi La Yanga Kuna Waarabu Wawili...Hangaikeni nao hao wanawatosha..!Hawa warabu, wangekutana na Yanga, wangekunywa goli nyingi.
Mdharau mwiba????Ayoub mtrotro sanaa😁!
hahahaha hakuna mechi hapo sema wamekutana ma bwana miti hakuna la maanaYa kiume hii
waydad mwarabu ama kituko kila mmoja kamtwanga isipokuwa nyau tuHuko Kundi La Yanga Kuna Waarabu Wawili...Hangaikeni nao hao wanawatosha..!
Huku CL hakuna Waarabu Koko...!
Sijui Monestre, sijui Africain...huku ndo Waarabu Wenyewe Sasa...!
Msirudie Kuwavalia msuli...