Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote wabovu...Lazima mmoja achomeshe
Kwani kwenye kundi lenu hamchezi muwe mnawafunga hizo 3? Au mlivyofungwa tatu mnaona kwenu ni ushindi ugenini? Utopolo hamnazoHii mechi Yanga angeshamtandika chuma 3 Wydad mpaka saa hizi.
Milembe PanakuitaGoooooooaaaaalllll
Kick
Mungu atusaidie hakika [emoji120]Goli la dakika za jioni namna hii huwa linauma sana, Simba Sc tunaihitaji sana hii draw leo.
Matokeo yakiisha hivi, ASEC na Simba Sc, watakuwa na uwezekano mkubwa sana wa kupita hapa.
Tuliza jicho hilo85' Chama cha lusaka anacheza makirikiri [emoji23][emoji23]
85' Chama cha lusaka anacheza makirikiri [emoji23][emoji23]
Kuna kuangalia mpira kwa jicho la kiufundi zaidi ambapo ni wachache wako nalo na Kuna kuangalia general perspective ambapo kila mtu anaweza akatoa maoni yake na akawa hayuko mbali na uhalisia.Boss sijui unatazamaje mpira ila binafsi naona Giroud alikuwa ni striker mzuri na aliaminiwa na timu tofauti tofauti hadi katika uzee wake.
Ukishasema hakuna striker wa maana zaidi yake inamaana ni sticker bora aliyepo
Mkuu, aina ya uchezaji ndo inasababisha mchezaji aaminiwe na kupangwa au la.
Mungu hayupoMungu atusaidie hakika [emoji120]
Ni mwendo wa droo mpaka robo fainali..Goli la dakika za jioni namna hii huwa linauma sana, Simba Sc tunaihitaji sana hii draw leo.
Matokeo yakiisha hivi, ASEC na Simba Sc, watakuwa na uwezekano mkubwa sana wa kupita hapa.
Wimbo gani85' Chama cha lusaka anacheza makirikiri 😂😂
Unacheka lakini unaumia ,Sisi kamwe hatuwezi buruza mkia kama ninyi majirani [emoji23][emoji23]85' Chama cha lusaka anacheza makirikiri [emoji23][emoji23]
Vipi Utopolo na Ile timu ya pot 4 jana?Simba bwana .yaani timu mbovu anashindwa kuifunga?