Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
makolo wanaongea aisee!yan humu jf ni thread zao tu za kujisifia kama sio wale waliopigwq kono la nyani 😀Kelele zote kwisha!! 😁
Bora wamefungwa. Wangepata hata sare tu, wangeendelea kuchonga. Sasa nchi itatulia.Nchi ina amani kutosha
zile 5 ziko wapiGOOOOOOOOOLLL
GOOOOOOOOOOOOLL
GOOOOOOOOOLLL
GOOOOOOOOOOOOLL
GOOOOOOOOOLLL
GOOOOOOOOOOOOLL
KWA WYDAD CASABLANCA
Heh!!😂🤣😂😂[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Nini hiki jamaniii, khaaaah
Na njaa auMnyama anashinda
kocha wa mwaka wa caf hakufanya sub ?Simba pale kuna wachezaji wa kutimua
Mbele pale hakuna foward kabisa
Angalia
Baleke
Ntiba
Kibu wote majanga mtu yupo na kipa anapiga nnje
Yaan bora hata ile penalt ingekua goal, kuliko huu uchuro uliotokea hapa,Mlitusema sana jana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna magarasa ya kutosha yanapaswa kufurumushwa.Chama na Genge lake hawapaswi kucheza Simba......
Mara hiii!!! 😁Chama na Genge lake hawapaswi kucheza Simba......
Mechi zote za nyumbani kushinda ni lazima lasivyo hatufuzu hatua inayofuata.Bado nafasi tunayo.
Wydad kwa Mkapa anapigika kirahisi sana
Huyu hata kwa Mkapa humuweziBado nafasi tunayo.
Wydad kwa Mkapa anapigika kirahisi sana
Wakome..Zile kelele za mechi 3 points 2 vipi sasa jamani? Kiko wapiiiiiii?
Asante mremboIla Mpira! Kubana kote kule
Daah! Kelele zilianza karibuni mkiani