FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

Makolo wana pambana kupigwa chache tu lakini kipigo aki kwepeki
 
Simba wapambane aisee...waweke historia mpya nzuri.
 
Golikipa ni tatizo, sasa Beno alisafiri na timu ili iweje?
Lile goli goli kipa yeyote mzoefu hata kado t hafungwi,mpira kaukuta vizuri tu sijui alikua anafkiria Nini pale anausindikiza na macho na mikono ,..hata commentator anasema kbsa hii goli kipa alitakiwa adake au atoe ..
 
Hawa washenzi watamtarget Chama apate kadi ya pili, awe makini sana maana mtu wao alifanya faulo ile ile kama ya Chama ila refa hakutoa kadi.
Kumbe umeona Chama awe makini sana hasa kwenye zile battle za kutumia nguvu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…