FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

Refa kashapangwa huyu,anatafutia waarabu ushindi,alishaweka penati hio [emoji1787][emoji1787],wasingemzonga angeiacha
Nasubiria kadi nyekundu kwa Chama, yani faulo kidogo tu tutashuhudia kadi nyekundu hasa waarabu wakichelewa kupata goli la pili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…