Introsagvert
JF-Expert Member
- Sep 9, 2019
- 1,459
- 3,020
Hamna timu basi tu... Simba hapa ndio tunajutia kushinda goli moja nyumbankuna watu niliwaambia humu wydad hawana maajabu wakabisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna timu basi tu... Simba hapa ndio tunajutia kushinda goli moja nyumbankuna watu niliwaambia humu wydad hawana maajabu wakabisha
Hayo yashapita....tukomae na yaliyopo mkuuLaiti game ya Daresalama tungeshinda 3-0 basi saa hizi ingekuwa tafrijaView attachment 2603057
[emoji2]kumbe tuna goli na hamsemi jamaniKwenye redio Simba 1
Naona simba mshapata cha kujitetea..refa
Sure!Tukienda kwenye mtuta ni lazima tutoke, hatuna wapiga penalty, hatuna kipa.
Mungu yuko na Ukraine kwnye vita huko embu wacha kumsumbua kisa ndugu zake onyango😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nipo hapa namuombea kwa Mungu..!!
daraja la ushuziSijui Ila Kiukweli Kuna Daraja Tumeliweka Apa Leo, Daraja Kubwa tu.
Yan na huyu refa wao wa mchongo n hatari.Muda hauendi kabisa.
[emoji23][emoji23]
Hapana bali tutapiga 1 na kuwa mbele kwa 2-1Tunapigwa 2-1