FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

"Msijisumbue kwa neno lolote bali katika kila neno kwa kuomba kusali na kushukuru. Haja zenu na zijulikana na Mungu!! Haja yangu leo naomba Simba ifunge goli litakaloiwezesha isonge mbele!! Amina!!
 
Mungu yuko na Ukraine kwnye vita huko embu wacha kumsumbua kisa ndugu zake onyango😂😂😂😂
😂😂
Jirani yangu hapa kuna mtu kanywa vitu vyake huko, kila saa anamuulizia Manula, anaambiwa goalkeeper leo siyo Manula, anasahau tena..!

anarudi 'unajua leo kama ni matuta Manula hawezi', anaambiwa tena, Manula ni majeruhi hayupo, anaelewa kwa muda, kisha anauliza tena, kwani Manula ana shida gani..??😂😂

Niko hapa nasikia kulia kwa uchungu..!😂
 
Hawa waarab pamoja na kudominate mpira ila hawatengenezi nafasi kabisa.Sasa hivi wancheza na refa.

Vp leo mmejiandaa kwa matuta.......?
 
Pendekezo lako la sub ni kati ya mchezaji yupi na yupi?
Saidoo anatakiwa apumzike hizi dakika za mwisho aingie Phiri au Shako.

Baadae Chama atoke (hana impact yoyote leo) aingie Nyoni, hii game ilipofikia Nyoni anacheza vizuri tu kuliko kumtegemea Chama ambae hana lolote leo.
 
Back
Top Bottom