Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatufiki kwenye penati, tutapata goli kabla ya tisini!!Atasaidia Sana kwenye penati Kama matokeo yakibaki hivi.
Maana hatuna wapigaji penati kabisa
Kifupi sina haina wachezaji wa kutoshaUnakumbuka alichofanya Sakho kwenye first leg?
Phiri ni risk, hana game fitness
Nyoni naye ni mchezaji wa msimu, huwenda akiingia atacheza vizuri lakini pia akavuruga kabisa mchezo wenyewe kwa poor performance
Ni kweli Chama amekuwa akicheza chini ya ubora wake tuliozoea ila hiyo ni kutokana na kadi ambayo anayo.
Hofu ya kupigwa kadi nyekundu ndio inamfanya ashindwe kukaba vyema
Pressure kubwa ipo kwa WydadNawakumbusha tu ni Dk ya 80 teyari..!
Na Kelele Zimepungua Sana.
Wapiga PENALT tunao kaka?Yani kama tutashindwa kupat goli, atleast tufike hata kwenye matuta kuliko kutolewa ndani ya dk 90 na hawa barbarians.
AminHatufiki kwenye penati, tutapata goli kabla ya tisini!!
Onyango kasema yupo mazoezi ...anapiga tiziOnyango kijana wa miaka 22.5
Huu uchawi sasa[emoji23]Tulieni dawa iwaingie wanathimbaaa[emoji38]