Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Watu walishasema... chama kucheza na jukwaa ndo imetugharimu...hii mechi ingetakiwa iishe kwa mkapaUkizingatia refa kawabeba gemu nzima, vijana wamepambana. Magoli tuliyokosa gemu ya kwanza ndiyo yamezuia Simba asivuke.