Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Halafu wewe huwa sikuelewi. Wewe ni mkia lazima ila huwa unazuga unajua 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Leo miye na wewe tupo pande mbili tofauti
Ninaamini Mnyama anashinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu wewe huwa sikuelewi. Wewe ni mkia lazima ila huwa unazuga unajua 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Leo miye na wewe tupo pande mbili tofauti
Ninaamini Mnyama anashinda
Miye Yanga DamuHalafu wewe huwa sikuelewi. Wewe ni mkia lazima ila huwa unazuga unajua 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hadi na we we[emoji23][emoji23]WYDAD CASABLANCA 4 WAO 0
Babu yangu Mwarabu inabidi, nishabikie timu ya home sweet home 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hadi na we we[emoji23][emoji23]
MKUU MBONA HAYA MATOKEA UNAYARUDIA SANA KUNA SIRI GANI UNAYOIFAHAMU?Kinyume chake
Wydad 1-2 Simba
Usitufanyie hivyo Kipenzi...Babu yangu Mwarabu inabidi, nishabikie timu ya home sweet home [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi Itoshe kusema bwana alitoa na bwana ametwaaBabu yangu Mwarabu inabidi, nishabikie timu ya home sweet home [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji3581][emoji3581]WYDAD CASABLANCA 4 WAO 0
Mkuu Leo ni siku mbaya sana kwenye soka la Tanzania, doa kubwa linaenda kutiwanamuona simba akitia doa taifa.
tusipo ingia uwanjani kama tulifungwa kwa mkapa
Usijali mkuu tunawalipia leoLeo Wydad watatulipia goli zetu, mlituzalilisha sana sis washabiki wa horoya, Leo zamu yenu yakuzalilishwa, 8-0
lakini mvua inanyesha dar jua likiwaka tuuh mnyama anasonga mbeleMkuu Leo ni siku mbaya sana kwenye soka la Tanzania, doa kubwa linaenda kutiwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Babu yangu Mwarabu inabidi, nishabikie timu ya home sweet home 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Shoga leo nawaonea huruma sana, sijui itakuaje. Nasikitika baada ya dakika 90, hatutakuwa na mikia hapa jukwaani mtapoteana 😂😂😂😂😂😂Usitufanyie hivyo Kipenzi...
🤔🤔🤔🤔Shoga leo nawaonea huruma sana, sijui itakuaje. Nasikitika baada ya dakika 90, hatutakuwa na mikia hapa jukwaani mtapoteana 😂😂😂😂😂😂
Si mambo yanazungumzika tu Shogaaa....Shoga leo nawaonea huruma sana, sijui itakuaje. Nasikitika baada ya dakika 90, hatutakuwa na mikia hapa jukwaani mtapoteana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]