MtoMsimbazi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 1,800
- 3,091
Kuna 2-0 ila cjui zipo kwa naniTunaiombea SIMBA ushindiView attachment 2601948
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna 2-0 ila cjui zipo kwa naniTunaiombea SIMBA ushindiView attachment 2601948
Kweli wewe kitimoto
Nami nimekiona kiwe hivi tunavukaKikosi
Juma;onyango,Enonga,mudi,kapombe,Nyoni,mzamiru,Kanute,Chama,Kibu and Baleke.
2-2 hii gameWydad Casablanca 5 Simba 1
Ule siyo uzi mkuu wa mechi. Huu ndo uzi mkuu siyo ule wa kashfa za matopoloMaxence Melo mkuu tunaomba huu uzi uunganishwe kwenye ule uzi mkuu wa Mechi.
hahahMkuu ukifika Peponi utanikuta pale mapokezi, endelea kutenda dhambi zingine ila nitakuruhusu upite tu bila shida
Ule ndio uzi wa Mechi. Kashfa ni pamoja na tambo za Simba na Yanga tu, tumeona hapa Nyuzi kadhaa za Yanga zinaanzishwa na wana Simba kwa kejeli na zinaenda hewani. Huu uzi uunganishwe na ule.Ule siyo uzi mkuu wa mechi. Huu ndo uzi mkuu siyo ule wa kashfa za matopolo
Hatutaki sasa. Kama vipi rusha ngumiUle ndio uzi wa Mechi. Kashfa ni pamoja na tambo za Simba na Yanga tu, tumeona hapa Nyuzi kadhaa za Yanga zinaanzishwa na wana Simba kwa kejeli na zinaenda hewani. Huu uzi uunganishwe na ule.
Huu uzi umefunguliwa mara baada ya ule kufuguliwa.