FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

Nimeamka nimekutana na huu uzi umeanzishwa nimejisikia tumevuka kwenda nusu fainali...
Simba nguvu moja
Tukutane saa 6.00 usiku...
Mi ni nani hasa hata nisiwatakie heri Wana Thiiimba ilihali wewe ulitutakia heri Wananchi tulipocheza na Rivers Utd? Cc Kalpana.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Hivi Muhindi anatuonaaje sisi wanaThimbaaaaa?

Odds zote hizi daaah
IMG_20230428_154609.jpg
 
Yanga wanalilia lia Simba afungwe ilaikitokea hivyo jua Yanga anapigwa keshokutwa...tukose wote tu
 
Back
Top Bottom