FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

Let's go
4651267_253a0.gif
 
Yanga wanalilia lia Simba afungwe ilaikitokea hivyo jua Yanga anapigwa keshokutwa...tukose wote tu
Simba kashatoka mbona hata mtoto mdogo anajua, na Yanga kashafuvu semi hata wewe unajua Hilo, au we nawe ni wale aliosema Aden Rage?
 
بسيقفي عيسى عيسى نيرنخ نبويه علوم
نىنملبر
نيرتبيييسيب
وليس إليه فسسيابسسس 5:1

Hesabu zako za anga za mbali (space) zina fumbo kubwa kama tabiri za Sheikh Yahya Hussein aliyekuwa msoma nyota mkuu Afrika ya Mashariki. Tusubiri matokeo.
 
Back
Top Bottom