Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu tuache bwana 😎
Tupinge chura weweBado masaa 4 na NUSU taifa liingie kwenye AIBU YA KARNE
mtani unajisahau mtaniiiiSimba sio kelele tu hata mitikasi tunaiweza umesahau april 16?
Umetoka mafichoni we mkia[emoji23][emoji23]Hebu tuache bwana 😎
Nani kakwambia nimejificha ww churaUmetoka mafichoni we mkia[emoji23][emoji23]
Nani kakwambia nimejificha?Umetoka mafichoni we mkia[emoji23][emoji23]
Lete takwimu hapa acha mbambambaamtani unajisahau mtaniiii
tumewatoboa mara ngapi nyie mpaka tukawazoea
Kila la kheri mtani. Najua unahitaji sana Dua kwenye hii mechi ya leo 😅Wanasimba wacomment huku waache ule uzi wenye nuksi kule
Hivi ww unakuaje jukwaani muda wote??Ile nafasi aliyokosa Kibu Denis haikuwa ya kukosa kabisa ona sasa tumetolewa.Post match interview ya shabiki wa Simba
Guvu moya 😀
Asante mkuu...ni Taifa hapa la Tanzani mjueeeKila la kheri mtani. Najua unahitaji sana Dua kwenye hii mechi ya leo 😅
Weka mzigo basiTupinge chura wewe
Taifa lipi? Kisa mmevaa jezi zimeandikwa Visit Tanzania? 😅😅😅.Asante mkuu...ni Taifa hapa la Tanzani mjueee
Simba wenyewe warembo hivi wanaonesha hawawezi kuchafuka hata kidogo kwa kujitoa jasho na damu. Mpigwe tuTunaiombea SIMBA ushindiView attachment 2601948
Sina kaziHivi ww unakuaje jukwaani muda wote??
AahaaaaaIle nafasi aliyokosa Kibu Denis haikuwa ya kukosa kabisa ona sasa tumetolewa.Post match interview ya shabiki wa Simba
Guvu moya 😀
Karibu Simba tunaajiri wafuta vumbi viatu vya wachezaji wetu...Sina kazi