FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

Tulioko uwanjani Mambo Yako [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
fumaca-sinalizadores-torcida-flamengo.jpg
17280_9f0b14cfad8275cd709428d9776499ea_t.jpg
 
Wameshatepeta kabla hata ya kuanza mchezo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350]
MECHI%2B1.JPG
 
Hivi mnajua Tanzania na Morocco tuna ushirikiano rasmi kwenye elimu ya jadi? Uchawi wa kumfunga mmorocco tunaujua. Leo tunaamua tu tumpeleke tukamzikie Kinondoni au Kawe.
 
‏‎أيمن الحسوني سيلعب مباراته رقم 60 في دوري ابطال افريقيا رفقة الوداد الرياضي. -59 مباراة -3 أهداف -9 أسيست -سيصبح ثالث اكثر لاعب خوضا لمباريات دوري الأبطال في تاريخ الوداد بعد الثنائي وليد الكرتي ومحمد اوناجم.
التاريخ من المقرر أن ينكسر
 
Kwani hamjui majini ni haari kuliko mizimu? Amini amini nawaambieni leo mtakosa usingizi
 
Nawatakia makolo kila la kheri, washinde mechi kwa heshima ya nchi yetu, japo watatupigia kelele.
 
Mkuu mwarabu feki nilijua unawatania bana kumbe ulimaanisha hatimaye umewaanzishia uzi wa updates. 🤣🤣🤣
Huu uzi ulitakiwa kubakia mpaka mwisho. Maana ulianzishwa saa sita kamili usiku wa kuamkia leo!

Cha kushangaza Mods mpaka sasa wameshindwa kuunganisha ule mwingine wa yule jamaa aliyeanzisha uzi wake saa sita na dakika nne!

Na kwenye mechi ya Yanga Jumapili wafanye hivi hivi. Maana haileti mantiki mashabiki kutuanzishia uzi, na wakati sisi wenyewe tupo.
 
Back
Top Bottom