FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

Wanathiiiimba!!!
FB_IMG_1682673534696.jpg
 
Simba's best wasn't enough, they've lost to the better side and one of the top sides in Africa although to them it's a significant achievement to have been eliminated by the reigning champions.
Imeloa simba
 
Nawasalimu mashabiki wa Yanga tu.

Uzi huu wauone makolo wote ndani na nje ya mipaka yetu.

Nimemaliza.
 
Wote mlicheza Uwanja mmoja, wote mlicheza Dakika 90+, wote mlipewa Penalty 5/5. Msianze kujifariji na Maneno eti “Tumepambana Kiume”. Kwahiyo Wydad walipambana ki Kike??[emoji23]

Mliopambana Kiume mbona Hamjashinda?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi hata mabao ya matuta nayo ni robota tano tano za mama? Sielewi hapo; Simba watapata robota 15 za ziada kabla ya kuaga mashindano haya.
Dah!...bora wapate tu hata wakafute jasho.
 
Bahati haikuwa yetu............
Kapombe alikunywa pombe kidogo............
Kipa hakuwa mzoefu ila ni hatari............
Tumetolewa kiume..............
Chama katukosesha nusu fainali...........
Mwakani tutaingia nusu fainali............
Onyango mzee aondoke.................
Wydad wa kawaida...............

Simba Guvu Moya.



Ongezea maneno watakayotumia kujifariji leo
Ukitema povu tunadekia.
images%20-%202023-02-19T220555.638.jpg
 
Kiufupi Onyango is hopeless na ni scam . Ifike pahala sasa kama
Kweli simba inataka kufika mbali , iachane na hawa wachezaji wa TIA maji tia maji

Tukubali kwamba Simba haina improvement , kwa miaka 5 SSC anafika Robo fainali ima shirikisho ima ligi ya mabingwa...... kwa miaka 5 hiyo hajawahi kuvuka hiyo hatua, what do you think ?
Ni mambo ya hovyo, kama Yanga asingekuwa kwenye hatua ya kwenda nusu fainali, basi tungeaminishwa tena this is big achievement.......tunaona wote kuwa this is not big achievement..... Yanga anakwenda kuandika historia MPYA
Simba mjitafakari


Yanga TIA maji TIA maji , anakwenda nusu fainali however hakuwa na path ngumu ..... but it does not matter .

Hii mambo ya kufa kiume ni ujinga, ukiangalia game Dar , ni ubinafsi na lack of team work zimewaponza
Sioni improvement kwa sababu miaka 5 mfululizo huvuki hiyo hatua, unawezaje kusema kuwa you are learning !

Tukubali kuwa hatusajili wachezaji wanaoweza kutuvusha hatua ya robo fainali,tunachoweza sisi ni makundi tu kwenye point,
Knock-out hatuziwezi...... hatuna wachezaji wa knock out tulione hili.
Nilisema hakuna mambo ya Inshallah inshallah, Mpira ni plan na investment

Mfano mtu kama Chama , Onyango , Ntibanzoka...:..banda etc etc.... hivi unawezaje kuwaza kutoboa kimataifa na wachezaji kama hawa . Haiwezekani..... tumewatumia hawa muda wote hawajawahi kutuvusha..... tulione hili


Kuna mtu yoyote anajua kwanini Sub ya Phiri imechelewa..
You have a point Sir....
 
Mi ni shabiki wa Simba ila niseme tu ukweli laiti kama Yanga wangejikaza wakaingia Hili kombe la Champions League wangeweza hat Kufika Semi final au hat Fainal kabs Na hii ni kwasabb timu nyng bora za Africa sasaiv zimeshuka sana kiwango zimebaki znabebwa na Rekodi za makaratasi tu ila uwanjani ni wa kawaida sana,
Hao Yanga kilichofanya wasijikaze kwa Al Hilal ni kipi ?
 
Wewe si ulitoka kwenye hatua za awali kabisa, shida inaanza pale mnapojaribu ku-equate CAFCL na CAFCC ili kutafuta faraja na matundu ya kuropokea.

It's Simba Sc katoka hakuna aliyekataa, ila swala la kutaka kuwaanisha watu kuwa mechi ya Simba sc itakuwa na uzito sawa na ule wa Yanga dhidi ya Rivers jpili, ni sawa na kulazimisha mnduku wako utafune muwa wakati sio kazi uliombiwa.
Dah!...Mkuu punguza hasira..
 
Kiufupi Onyango is hopeless na ni scam . Ifike pahala sasa kama
Kweli simba inataka kufika mbali , iachane na hawa wachezaji wa TIA maji tia maji

Tukubali kwamba Simba haina improvement , kwa miaka 5 SSC anafika Robo fainali ima shirikisho ima ligi ya mabingwa...... kwa miaka 5 hiyo hajawahi kuvuka hiyo hatua, what do you think ?
Ni mambo ya hovyo, kama Yanga asingekuwa kwenye hatua ya kwenda nusu fainali, basi tungeaminishwa tena this is big achievement.......tunaona wote kuwa this is not big achievement..... Yanga anakwenda kuandika historia MPYA
Simba mjitafakari


Yanga TIA maji TIA maji , anakwenda nusu fainali however hakuwa na path ngumu ..... but it does not matter .

Hii mambo ya kufa kiume ni ujinga, ukiangalia game Dar , ni ubinafsi na lack of team work zimewaponza
Sioni improvement kwa sababu miaka 5 mfululizo huvuki hiyo hatua, unawezaje kusema kuwa you are learning !

Tukubali kuwa hatusajili wachezaji wanaoweza kutuvusha hatua ya robo fainali,tunachoweza sisi ni makundi tu kwenye point,
Knock-out hatuziwezi...... hatuna wachezaji wa knock out tulione hili.
Nilisema hakuna mambo ya Inshallah inshallah, Mpira ni plan na investment

Mfano mtu kama Chama , Onyango , Ntibanzoka...:..banda etc etc.... hivi unawezaje kuwaza kutoboa kimataifa na wachezaji kama hawa . Haiwezekani..... tumewatumia hawa muda wote hawajawahi kutuvusha..... tulione hili


Kuna mtu yoyote anajua kwanini Sub ya Phiri imechelewa..
Sasa strikers hawana on target hata moja,unamlaumu beki,beki zilifanya kazi yake,na zimezuia kweli kweli

Strikers ilibidi na wao wafanye kazi yao
 
Back
Top Bottom