Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Ngoja tusubiriYupo sub lakini
Hapo sawaAna Busha
Kwamba wanachoka wao tu Nyie hamchoki [emoji1787][emoji1787]Sawa, nadhani unaona inavyowapa shida. Sasa pata picha wakichoka. Inawapa shida sana mabeki kwa sababu mbele kule hakuna wakabaji kbs
Yanga wanahitaji wapate goli moja tu la kuongoza Waarabu wapoteane.bila kuwachapa hawataacha uo ujinga wao
Uzoefu muhimuAlipokuwa Simba mlimuita Mzee huko Utopoloni 🐸 🐸 anaonekana dhahabu.
Jamaa anajua aisee...
Ujinga tuWaarabu washaanza ufala
Usimpangie Kuwa kocha wwHii game ni ya Pacome, Kocha afanye maamuzi haraka
Kawapigie SimuYanga wanahitaji wapate goli moja tu la kuongoza Waarabu wapoteane.
Kiufupi wachezaji wa Yanga hawana akili za ugungaji ,mechi kama hizi Pacome na Mwamba wa Lusaka ndio wanatakiwa waamue mechi maana ndio wenye akili
Hapa kwa chama labda pacomeKiufupi wachezaji wa Yanga hawana akili za ugungaji ,mechi kama hizi Pacome na Mwamba wa Lusaka ndio wanatakiwa waamue mechi maana ndio wenye akili
Ngoja niulize Mkuu, twende kwa facts.Mimi najua CAF hua wanatumia broadcast wa Ndani ya mwenyeji kwenye streaming na ukizongatia Azam wana haki ya kurusha hizi mechi kulingana na CAF.
Alafu ukiangalia camera settings na marudio unaona ni Azam hao, check hata mpira ukienda South Africa, au Nchi za Magharibi pattern ya camera ni sawa na Ligi yao.
Ndio maana Kuna Slow motion nchi nyingine nyingine unaona marudio yanakakamaa
Kwa Mkapa Hatoki mtuUKISIKIA, DARESALAMU YANGA AFIRIKA... NDIO LEO.