FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

Sawa, nadhani unaona inavyowapa shida. Sasa pata picha wakichoka. Inawapa shida sana mabeki kwa sababu mbele kule hakuna wakabaji kbs
Kwamba wanachoka wao tu Nyie hamchoki [emoji1787][emoji1787]

MCA wamecheza game zote za makundi na kuwashenyenta nyie kwao uliona wamechoka [emoji23][emoji23]
 
Hapan
Kiufupi wachezaji wa Yanga hawana akili za ugungaji ,mechi kama hizi Pacome na Mwamba wa Lusaka ndio wanatakiwa waamue mechi maana ndio wenye akili
Kiufupi wachezaji wa Yanga hawana akili za ugungaji ,mechi kama hizi Pacome na Mwamba wa Lusaka ndio wanatakiwa waamue mechi maana ndio wenye akili
Hapa kwa chama labda pacome
 
Mimi najua CAF hua wanatumia broadcast wa Ndani ya mwenyeji kwenye streaming na ukizongatia Azam wana haki ya kurusha hizi mechi kulingana na CAF.

Alafu ukiangalia camera settings na marudio unaona ni Azam hao, check hata mpira ukienda South Africa, au Nchi za Magharibi pattern ya camera ni sawa na Ligi yao.

Ndio maana Kuna Slow motion nchi nyingine nyingine unaona marudio yanakakamaa
Ngoja niulize Mkuu, twende kwa facts.
 
Back
Top Bottom