Mungu yuko upande wa waarabu. Uto wasipate kituZimebaki dakika 7
Yanga yamekaa kama madunduwaziNilichogundua kelele za uwanjani ni za waarabu, wako wengi sana uwanjani
Sasa Lini Waliingia robo π€£π€£Uto muombe sana ili maneno ya "mwakarobo" na "utaifungaje" yasiwabinukie leo.
Kivip mkuuHii mechi naiona kama tu ya Mamelod
Mamelod tulitolewa tukiwa wapi mkuu?Sasa Lini Waliingia robo π€£π€£
Ndo kwanza Makundi
Duh!....hamsahau tu ?Uto muombe sana ili maneno ya "mwakarobo" na "utaifungaje" yasiwabinukie leo.
Waarabu wanajua sana.. utadhani wamepewa maji ya mwamposa mtu anakuwa kiwete then anatembea.. hakika Mungu yupoNaaaam!Amefunga refa
Subiri kwanza ziisheKutoka MAKTABA
Yanga Wana wanaitaji UPENDO, IMANI, MIUJIZA ππππNdio ila sion dalil ya gol
Boka Ni Kubwa Jinga ππ