Atapigana akubeulie supu na mahindi ya kuchoma bure.Achana naye akanywe maji ajitulize kama kasuku.Tsh uran Scars Kalpana DR Mambo Jambo OKW BOBAN SUNZU Kiweriweri Mac Alpho uran naombeni mnisaidie kumjibu huyu jamaa.
Mmwashamba kutoka vawa mbozi hapo akibubujikwa na machoz ya. MasikitikkoView attachment 3205410
Bado mpira uko mubashara hapa mnaongoza kwa bao 3
Waonee huruma watani zetu. Sasa hivi wapo kwenye maumivu makali sana. Tuwaache wapumue kidogo.Utoooooo....hamna kitu, hamna mnachojua vilema nyinyi, simba ndo baba wa soka la kimataifa hapa afrika mashiriki.
Tupeni heshima wetu vilema nyinyi haahaahaah
Alidhani kule Ni Taboraπ πDuh!....Kumbe kuitwa 'mwakarobo' sio kazi nyepesi ?....πππ
Tsh Kalpana DR Mambo Jambo Kiweriweri
Nasikia bado wamelala uwanjani kwa mkapaGusa, achia, twende nyumbani
Hii hamfiki fainali mkuu?.Subiri siku ya kucheza kikoba ikifika Mkuu, leo ilikuwa Klabu Bingwa.
Gamondi na huyu side wote ni wapumbavuMimi nashaangaa Dube anaachwaje dak 90
yaan hua natafakar sana
Ye mwenyewe Akisoma Comment yake Lazima Alie hakuna haja ya Kumjibu π πTsh uran Scars Kalpana DR Mambo Jambo OKW BOBAN SUNZU Kiweriweri Mac Alpho uran naombeni mnisaidie kumjibu huyu jamaa.
Tumekufa kiumeSimba tulivyokua tunasema tumekufa kiume mlikuwa mnakataa..tuambieni mmekufaje?! Kama mpo humu
Tuondoke hapa leo siku mbaya kaziniNipo humu mzee naomba unione