whitemoney
JF-Expert Member
- Nov 9, 2023
- 1,161
- 2,454
ππKuna shabiki nilikua nimekaa nae karibu kamtukana kocha huku macho kayatoa, "Huyu kocha si amuingize Kibu Dennis ndio dakika zake, nikamjibu kwa upole Kibu Dennis haruhusiwi kucheza huku kwani yeye yuko Simba namuona kanyweea huku akivuta punzi ndefuπππ
Fanya hivyo tuje chappuuNa kweli lazima nifanye hivyo
Halijaibwa wameenda kulilia maporiniAu Limeibiwa jamaniππ
Wawashe redio Avic Town huko wataliwa na Simba bureeeeHalijaibwa wameenda kulilia maporini
TayariFanya hivyo tuje chappuu
Hasahasa ukikaidiIts Pancho Labani og ukikaidi utapigwa2 redio waliokaribu na hawa jamaa wawe nao makini wanaweza kufanya lolote...
Babu naomba nitag kwa huo uziTayari
Jirani yangu hapa kamwaga safari yangu ya kuomboleza.Kama upo karibu na mwana Yanga kuwa makini maana wana hasira sana.
ππAlie mleta boka yanga
TUTAONANAπ
Nimelia sanaaMtani Vincenzo Jr pole sanaaa
Waambie watu waache ka mdomo mdomo wajifunze...
Muarabu kaacha pengo tzNi huzuni kwa kweliView attachment 3205477
Tulia nisije kukucharaza bakora...Nimelia sanaa
Safari ya mwendawazimu
Mwakikundi!MwaKundi FC
Nimetoka hapa vip b alikamwe kazimiaHalijaibwa wameenda kulilia maporini
Shukrani sana ndugu yanguMtani Vincenzo Jr pole sanaaa
Waambie watu waache ka mdomo mdomo wajifunze...