FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

Si mlimuombeaaa???
🤣🤣🤣 Mweee walimuombea wapi tena?
Mungu na mpira wapi na wapi. Hapo uwanjani ninwee mwenyewe kukaz tako upate ushindi hamnaga maombi hapo.

Wanannchi wasivyunjike moyo wapo in the right track mpira hautaki papara ni mipango ya muda mrefu.
2 conswcutive seasons wameweza fika group stage ni mafanikio.
Sasa next season ndio mpango wa kuingia robo. Ile last season kuingia robo was an over achievement.

Ila watafute atriker leftback rightback
 
Chura aka Utopolo amekufa ki umbwa. Ndio muache fedhea na kujua kuna master of masters. Mnyama akiwa mawindoni mwacheni, roho finali sisi ni nyumbani, tunatafuta funguo ya nusu.
Mo asije anza omba hela yake mkitoka robo.
Yule muntale bado yupo?
 
Gusa. Achia. Twenda kwao.

Ni ligi ya mabingwa Afrika, Yanga wakiwa nyumbani watawakaribisha MC Alger katika mchezo wa mwisho wa makundi.

Ni mchezo ambao Yanga atahitaji kushinda ushindi wa aina yoyote ile ili kuweza kufuzu robo fainali.

Yanga imekuwa na fomu nzuri ya matokeo kwa mechi za karibuni lakini MC Alger nae akiwa na rekodi ya kutopoteza mchezo akiwa ugenini msimu huu.

Mechi hii ya aina yake itapigwa saa 10:00 jioni

Kila la heri kwa Mabingwa wa Tanzania, Taifa lipo nyuma yenu.
View attachment 3205353
Dakika ya 26 yng 0-0mca

Dakika ya 27 mca wanakosa goli la wazi

Dakika ya 28
Mudathir amefanyiwa madhambi

Dakika ya 33
Yanga SC wanapata kona

Dakika ya 35
Yanga SC wanapata kona

Dakika ya 36
Mudathir anakosa goli la wazi

Dakika ya 37
Mca wanapoteza muda sana hapa uwanjani

Dakika ya 45+4
𝐇𝐀𝐋𝐅 𝐓𝐈𝐌𝐄

Young Africans SC 0-0 MC Alger
View attachment 3205382
Kipindi cha pili kimeanza
Mabadiliko anatoka musonda anaingia pacome

Dakika ya 48
Yanga SC wanakosa nafasi ya wazi


Dakika ya 50
Yanga SC wanapata kona

Dakika ya 54
Yng 0-0 mca

Dakika ya 58
Yanga SC wanapata freekick

Dakika ya 60
Mca wanachelewesha sana muda

Dakika ya 63
Kibwana anafanyiwa madhambi

Dakika ya 66
Mca wanakosa goli la wazi

Dakika ya 67
Anatoka mudathir anaingia chama

Dakika ya 68
Yanga SC wanapata freekick

Dakika ya 72
Dube anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 74
Chama anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 80
Yng 0-0 mca

Dakika ya 86
Boka amefanya madhambi hapa

Dakika ya 90+7
𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄

Young Africans SC 0-0 MC AlgerView attachment 3205414
Wamevuna walichopanda

Hersi badala ya kwenda kwa Mkapa kaenda kwa mkutano maarumu wa CCM
 
IMG_20250118_192057.jpg
 
Back
Top Bottom