Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #1,381
Kabla ya hapo Hali ilikuwa mbaya mbonaMbona ametoka Vizuri na kahojiwa?. Utani tuache tunachekana kwenye matokeo kwenye uhai hatujafika😔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla ya hapo Hali ilikuwa mbaya mbonaMbona ametoka Vizuri na kahojiwa?. Utani tuache tunachekana kwenye matokeo kwenye uhai hatujafika😔
Hujambo mama?umefurahi kama mimi?Kamdomo kamdomooooo 😂😂😂
aragiga ni mtaa, na road huko Deira DubaiSio MC alger ni MC Arajiga.
Ndio ukouko.aragiga ni mtaa, na road huko Deira Dubai
Mechi mbili za Mazembe Dsm na Al Hilal ushindi ulitokana na mambo ya nje ya uwanja na shekeli ila siyo ubora wa wachezaji wala mbinu za kocha though mlijidanganya na kujitutumua kuwa mpo vizuri na imani ya uongo kuwa mtatoboa, poleni sana msimu hamtafanikiwa kokote
Nitakufukuza kazi unajua, unamdhihaki boss wako kweli? Kesho asubuhi tuna kikao.Bantu Lady, adriz haya guseni muachie 😂😄
dah long time, mpaka nili sahau mimi ni muajiriwa.Nitakufukuza kazi unajua, unamdhihaki boss wako kweli? Kesho asubuhi tuna kikao.
Eeh mambo ni gusa achia, mengine ni matokeo ya mpira. Intelligent businessman
Uliwaaambia wapi? Weka reference....siyo kudanganya umma. Tumetolewa ni mchezo tu. Yanga ina uwezo mzuri na ni team bora Afrika.Uwezo wetu ndipo ulipoishia, niliwaambia mimi hatutovuka hatua hii ya makundi walionitukana wote ni mashahidi tunachokiona hapa.
Until next time, tutarudi imara.
Yanga Daima
Tumeona eee. 😂😂😂.Ngoja tuone
Hun usingizi ukalala? Maana una ka mdomoTumeona eee. 😂😂😂.