Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
Nafikiri ushanielewa wewe mshabiki wa Yanga.....Mungu wako Manara ana nini jipya la kusema baada ya kutolewa kwenye makundi?Kiswahili nacho ni shida kwako? HAIBU ndo mdudu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri ushanielewa wewe mshabiki wa Yanga.....Mungu wako Manara ana nini jipya la kusema baada ya kutolewa kwenye makundi?Kiswahili nacho ni shida kwako? HAIBU ndo mdudu gani?
Nashukuru ujumble umeupata mwana YangaHaibu ndo nini?? Au ndo kipimo cha kukutambua ulivyo tunapaswa kuanzia hapo
Siwezi kamwewewe
Uandishi wa stori ni kazi nzito brazaHaijaisha kama story yako ya Yunge isivyoisha.
mtaniiiiiiiiiiiii hahahahahahaha shadeeLeo ndo ile siku ya kuwazodoa wale waliokuwa wanabeza zile hesabu zetu.
Kila la kheri Timu yangu ya Wananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
#GusaAchiaTwendeRobo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo ndio tunaenda kumalizia kichaka cha mwisho ambacho mbutembute wamejifichia .
Yaani mwarabu analiwa na kichaka kinafyekwa leo
Yanga 4
Mwarabu 0
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pacome kama anatakiwa hivi
Hua ana foc kwenda
Mtani ndo ufukue uzi kweli? 🤣🤣
Japo mmekumiss hasaa.
🥹🥹🥹Yanga watunze nguvu wasitumie nguvu za ziada: 1-0 kama kwa al Hilal inatosha kabisa !!
Bahati mbaya matokeo haykutokaNdugu zangu utopolo hamjambo wote? , Hii mechi matokeo yalikuwa ngapi ngapi ? Nani katoka sikuangalia mechi
MC Alger alipigwa mbili bila. Goli moja kafunga Azizi Ki na alithibitisha ubora wake na la pili alifunga mchezaji kinda mwenye miaka 21, Clement Mzize🙄Ndugu zangu utopolo hamjambo wote? , Hii mechi matokeo yalikuwa ngapi ngapi ? Nani katoka sikuangalia mechi
Una pwenti usikilizwe...Huu uzi bado unatrend.
Napendekeza Mods waupin hapo juu hadi mwishoni mwa msimu, au mnasemaje wakuu?