GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Tusubiri 2nd half ya visindano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana BushaHivi chama ana tatizo gani asianze kipindi cha kwanza
Mazembe anakumbuka shuka kumekucha ile game ya Alger iliwakata sana.Tp mazembe anaongoza uko bao 2
Alisikika Uto mmoja AkisemaGoaallllllll
Alipokuwa Simba mlimuita Mzee huko Utopoloni 🐸 🐸 anaonekana dhahabu.Hivi chama ana tatizo gani asianze kipindi cha kwanza
Kona ya ngapi huyo Aziz Ki anapiga kisenge?Utopolo 🐸 🐸 wanaweza kubadilisha mchezo muda wowote...ukashangaa
Kashezi sana haka katotoUmesahau na viboko juu
Kwa hiyoBado Dk 60 mpira uishe..
Kipindi Cha pili chama na pacome wanatakiwa wote waingie wabadilishe mchezo,dube aende nje
Hivi wewe zinalutosha kweli mjomba?Al hilal ameshapigwa 2 uko tufunge muarabu za kutosha tuongoze kundi cc 🤣
Kabisa yanga kuna wachezajinwanatuangusha sanaMazembe anakumbuka shuka kumekucha ile game ya Alger iliwakata sana.
Wataanza kulala kama mizoga.Ukitaka kuchukia waarabu
Wakufunge au utanguliwe
Hata Mc Alger akifungwa 5 bado Yanga hawezi kuongoza kundi sababu ya h2h Yanga karuhusu goli 2 vs Al HilalAl hilal ameshapigwa 2 uko tufunge muarabu za kutosha tuongoze kundi cc [emoji1787]