Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
3Hivi cc waarabu si tunatafuta sare tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
3Hivi cc waarabu si tunatafuta sare tu
Hawaachiwi wajitanue. Mpira mrefu unapopigwa huoni safu ya alger ikiteteleka. Yani unakuta wamekusubiri unashindwa kupita. Ushahidi ni kwa dube na mzize wanajikuta wamezungukwa na miguu minne mbele yao.Gusa achia twende kwao imefeli ?
Chama ni brain ya timu ...Huwezi ku unlock hiyo lowblock ya mwarabu kwa watu kama kina Aziz KiChama kimbiza kimbiza si mechi zake, team ikiwa inaongoza ndio aingie
Bado muda wa sindano ni kipindi cha pili watakuwa wamedungwa cc 15 kila mtuKocha afanye sub upesi atoke Dube na Musonda, atuwekee Chama na Pacome. Sijui anasoma hizi jumbe.
Kwahiyo Hujajikojolea Kitandani2nd half nakuja kukukojolea mabao 2 tu jiandae
Anataka mkanunue nguo tenaMzize haya mambo siyo ya kufanya kwenye mechi kama hii.
Bado wana muda wa kubadilika, labda wazingue wao tu.Hahahaahaa YANGA vituko vingi
mwenye scientific calculator anipe nipige hesabu kuona kama bado matokeo ya nyau nyau yananisaidia kufudhuuuuuuu
musondaNani atoke ili aingie Pacome.?
Kwenye Hiyo 2 weka Alama Hii kwanza -Nasikia Yanga anaongoza 2!
Huku TANESCO wamefanya yao. Naombeni matokeo
Yanga haiwezi shinda endapi azizi akiwa nje huku ndani akiwemo chama na pacome.Chama ni brain ya timu ...Huwezi ku unlock hiyo lowblock ya mwarabu kwa watu kama kina Aziz Ki
Mwenye nafasi ya kuongoza kundi ni MC Alger na Al Hilal tuYanga ataongoza hili kundi
musonda dube out
pacome chama in.
tofauti na hapo hii mechi yanga anapoteza
Mnatuchanganya Sasa Mtuache Tumuangalie MwarabuYanga haiwezi shinda endapi azizi akiwa nje huku ndani akiwemo chama na pacome.
Hakuna mchezaji wa simba anaweza pata namba yanga mkuu😛😛😛😛Kiufupi wachezaji wa Yanga hawana akili za ufungaji ,mechi kama hizi Pacome na Mwamba wa Lusaka ndio wanatakiwa waamue mechi maana ndio wenye akili
Hilali Kisha PondwaMwenye nafasi ya kuongoza kundi ni MC Alger na Al Hilal tu
Labda kaambiwa akipata mpira apige golini tuMzize sio kila siku ni Jumapili, toa pasi