Unamuuza mwana wa mtu kwa vipande vya bia?Kuna mtu hapa bar akiniambia yanga wakifungwa nakula bia tano japo yanga team yangu ila naombea wafungwe
[emoji1787][emoji1787]Kuna mtu hapa bar akiniambia yanga wakifungwa nakula bia tano japo yanga team yangu ila naombea wafungwe
Kasema Kama Azam wakishinda kwa matuta nakula bia tatu..hapa napiga dua kimyakimya[emoji1787][emoji1787]
Nipo upande wako ili unywe hizo beer za kufungwa yangaKasema Kama Azam wakishinda kwa matuta nakula bia tatu..hapa napiga dua kimyakimya