Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Well Sir!From what I know today onward this Bakhresa
product is at its best[emoji817] [emoji1787][emoji1]
Azam Sport Bidhaa Bora ya Bakhresa
Kama yule JudgeYanga hata wakizidiwa watabebwa, timu imejaa michongo kila idara
Yanga wanafungwa saa ngapi? Unitag Niko safariniBangala anaoutoa mpira nje kuokoa shambulizi na mpira unakuwa wakurusha kuelekea yanga
Usijari mkuu sasa hivi yanga tunapigwa kwa aina hii ya wacgezaji tulionao kama makambo, yani yeye na golikipa lakini kapazaYanga wanafungwa saa ngapi? Unitag Niko safarini
Ndio mchezo Mpwa!Usijari mkuu sasa hivi yanga tunapigwa kwa aina hii ya wacgezaji tulionao kama makambo, yani yeye na golikipa lakini kapaza